kocha wa Riadha wa Francis John Afaliki
Aliyewahi kuwa kocha wa Riadha wa Francis John, Alphonse Simbu, atazikwa nyumbani kwao Arusha leo Aprili 26.
Francis alifariki katika ajali ya Gari Jumamosi iliyopita jioni.
Simbu amewaambia Mwananchi kuwa mazishi ya kocha huyo yatafanywa leo mchana nyumbani kwake Arusha.
Mbali ya kuwa kocha, Francis aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Shirikisho la Riadha Tanzania

Post a Comment